Pages

Saturday, November 23, 2013

FROM LUDEWA WITH LOVE

By now I am sure you are familiar with the name Ludewa and my interest in the place...waswahili wanavyosema mtu kwao au mcheza kwao hutunzwa...let me boast about the natural riches of my heritage.

Leo hii nawaletea matukio kwa picha kuhusu mwambao wa ziwa Nyasa na shughuli mbalimbali ambazo zinafanyika humo, kama nilivyoyapata kutoka mitandao mengine ya kijamii.


usafiri wa boti ndio unaotumika kwa wananchi wanaohitaji kwenda upande mwingine wa ziwa



mandhari ya shule hii inavutia hasa kwa kuwa ipo pembezoni kabisa mwa ziwa nyasa
 
 
shughuli mbalimbali ikiwemo za ukaushaji dagaa na samaki kando kando ya ziwa nyasa


mama akiogelea ndani ya ziwa nyasa lililopo katika wilaya ya Ludewa
 
 
Yes...we are really blessed........
 

No comments:

Post a Comment